Ndani ya Kristo - Song lyrics
Mwimbaji - Ritha Komba
(bridge)
Umenizingira juu na chini eeh juu na chini pande zote upo juu na chini, juu na chini
Verse 1
Ee Mola wangu, adui wajapojipanga pigana nami
Silaha zao hazita fanikiwa,
Na kwa njia saba watatawanyika
Mana nimefanyika mboni ya jicho lako aniguasae mimi amekugusa wewe,
Mana mimi ni uzao mteule eeh nimefanyika mtoto wa ufalume eeh
Anigusae mimi amekugusa wewe mana nimefanyika mboni ya jicho lako.
Chorus/kiitikio
Maisha yangu yamefichwa ndani yako Baba, uhai wangu umefichwa ndani yako Kristo .
Wala sita ogopa ,Aaaaeeh sitaogopa
Wala sita yumbishwa, aaeeh sitayumbishwa
Bridge
Umenizingira juu na chini eeh juu na chini pande zote upo juu na chini ,juu na chini.
Verse 2
Kutoka kuitwa mmataifaa
Amenifanya mi mwanaee
Amenitoa kwenye vita
Katika pendo lake nakamilishwaaha
There is no one will take me down
No mountain, no sickness because i have Jesus in me,
Mana nimefanyika mboni ya jicho lako,
Anigusae mimi amekugusa wewe
Wewe eeeeeh .
Chorus / kiitikio
Maisha yangu yamefichwa ndani yako Baba, uhai wangu umefichwa ndani yako Kristo .
Wala sita ogopa ,Aaaaeeh sitaogopa
Wala sita yumbishwa, aaeeh sitayumbishwa
Bridge
Umenizingira juu na chini eeh juu na chini pande zote upo juu na chini, juu na chini.
Connect with me on:
Facebook: Ritha Komba
Instagram: @rithakomba
Email: synyoritha@gmail.com
#NdaniyaKristo #rithakomba.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: https://www.instagram.com/hurudigital/