All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter https://twitter.com/TimesFMTZ and on instagram http://instagram.com/timesfmtz#
@raphaelluhemeja68366 years agoYan huyu dada nimempenda so natural so beautiful hajaji edit yan hana mbwembwe zozote kama mawigi mungu akubariki mwaya usije badilisha lyf syle. 4
@
@kigwisimulindwaclemo85416 years agoSofa sisters wetu wazuri bila kujichubua, no make up, no feki kucha, no feki nywele. Sofa nimependa hio. 11
@
@neemajanga88266 years agoNini uko vizur mpz usijuchune wala manywele ya bandia achana na izo kabisa your so cute umwah. 2
@
@nellymollel46726 years agoJana likua nakusiliza kwa radio litam niwe naona but now ndo na cheki big up nay mtoto mkali xan. 4
@
@estherjoshua22506 years agoNimekupenda bure mdogo wangu upo vizuri mwaya.
@
@ibumsigwa866 years agoSo far so far ila uko vzr kingereza ungesubir kwanza umempa kaz uyo jamaa kumalizia maneno. 3
@
@nonenone49545 years agoYou are the best, have a good lucky nini.
@
@maryammeme26156 years agoSo cute natural. Colour haya jikoroge na ww uharibu. 2
@
@sashazuberyzubery78046 years agoSo far wat happened. Ila nakupenda bure dadangu yan ur so mmwah ule wimbo wako wa niwedawa duh naupenda sana ila ss ubaki hvhv ucje kujichubua yan utachukizaa kha penda sana ww. Nini. 1
@
@beautyibrahim84286 years agoMrembo wa mr true boy nakupenda bure wifii.
@
@thoyarashid57826 years agoSo far. So far. So far nimekupenda izo ndala za kunyonya.
@
@dativarutta43466 years agoWewe n mzuri sana ka rangi kako nimekapenda sio kama wale ila uwe unaongea kiswahili maana kingereza hicho n noma.
@
@farajagisbang50196 years agoSo far what happened ni slogan yako au? Ila nini nakupenda wimbo wako wa nipe dawa. 3
@
@emmanueldundo73716 years agoWhat the meaning of sofar? Cause after one word so far is appealing.
@
@ndimirimanafelixnesta52046 years agoOmmy wangu long time nimekukosa ila nimerudi nikufwate 100miya.
@
@mwakilongomai40206 years agoMzuri sana, ila acha kuongea hicho kizungu bhana, utajishusha.
@
@wambuwajeff16946 years agoSo far. Weuwe ni msupu. So far kwa nay wa mitego umetupa mbao so far.
@
@islimhassan78006 years agoIzo " so far" xax duh kudhungu.
@
@Mcsceo6 years agoToo much so far nini what tha hell kwanini asitumie swahili tyu?
@
@georgeshija12766 years agoDah nimekukubali kwa kubali daxo ndo mtu aliekufanya tukujue kwenye music industry na unamheshim kwa hilo safi sana nini.
@
@geofreyniyonkuru57246 years agoWatanxania ni watu wa kulaumu sasa akisema soo far sio kingeleza.
@
@johndedan85726 years agoDuu, mapenzi na kazi ni sumuhaziangushi kabati hh.
@
@tinaramadhan54376 years agoWe ni mrembo so please usije jichubua ka wengine baki na kalang kako mpenz.
@
@catherinjose61756 years agoNaomba niulize uyu dada ni mtanzania au mkenya maanaongea rugha yako acha kutuchosha watu akili.
@
@nayfattykipanya8106 years agoOmmy nawe unajifunza umbeya eti ney anakifua.
@
@kavukorodrigue22716 years agoJ' aime infiniment cette fille. Elle est vraiment jolie. How can i get her number please!
@
@aggreyandrew62496 years agoMzuri ila sasakarangi kazuri kasura kazuri. Ila kwa ney unapotea. 10
@
@neemajohn60866 years agoKingereza kingi mpaka uma boa. Don' t be tantariser.
@
@cynobaby506 years agoUkibeba mimba tu kwisha habari ya so far. 4
Related videos for Nini Aweka wazi uhusiano wake na Nay wa Mitego:
so far
ila uko vzr
kingereza ungesubir kwanza umempa kaz uyo jamaa kumalizia maneno. 3