Utajuaje kama penzi lenu limeegemea upande mmoja? Utajuaje kama wewe unalemewa au mwenzako analemewa na kwamba mnaweza msifike mbali? Hizi hapa dalili 6 zitakazo kuonyesha kwamba penzi lenu limeegemea upande mmoja. Zifuatilie ili mjirekebishe.
@drvidah70302 years agoNashukuru mungu, mimi nikishaonq kuna mabadilikomaana what i know love haifundishwi popote, ni automatic thing qmbayo mungu ameweka ndani ya mtu. Hata mtoto mdogo ana upendo na mapenzi cozukishamove on wanajifanya kurudihuko. Hakuna mwanqume au mwanamke ambaye yupo bisy hakuna kitu kama hicho. No one is bisy kuliko watu wengine. ...Expand6
@
@GloryStanley4 months agoAsante sana kaka kiukweli naguswa sana na mafundisho yako mungu azidi kukubariki.
@
@ValentinaSalingwa-zo4lg7 months agoAsante mtumishi kwa somo zuri mungu akubariki sana maana hili ndio ninalopitia mimi.
@
@user-ku3ie5xn8z6 months agoIzo ulizotaja zote nizakwangu asante sana.
@
@oliverkim67602 years agoAsante sana chris mauki najifunz mengi iwish nikuon siku moja.
@
@azizakombo3762 years agoMungu akubariki kwa masomo yako yenye ukweli ndani yake. 1
@
@neemammassy80722 years agoNimekuelewa vizur mauki ubarikiwe sana.
@
@hussenalisa72113 years agoAsate sana ni mejifunza mengi kupitia kipindi chako mungu akubarik.
@
@macrinycostantine56343 years agoDalili 4 zmenigusa sn ahsante dr mauki.
@
@adellaritte3558last yearThank mauki learning more nampendaa mwanaume lakinii yupo bizeee.
@
@marrydamian28542 years agoHabar dr masomo yako yamenigusa sana naomba mawasaliano yako nahitaji msaada zaid.
@
@hussnattwalibu22503 years agoSomo nzuri mungu akubaliki kwa kutuelimisha.
@
@meryfrank52723 years agoMm mungu atusaidie tu mana. Tunakutana na ayo mambo kwel.
@
@faridansemwa18843 years agoAya mambo, mungu atusaidie tu sio olewa.
@
@AishaOman-qz7tnlast yearKweli kabisa yani umegusa moyo wangu hapo. Ila kwa sasa nime move on natafuta life yangu.
@
@blaitonamani85893 years agoAsante sana dr nimejua mengi sana mana toka nimeingia kwenye uchumba na mwanamke nilie mtolea na balua na nusu ya mahali amani ya penzi imepotea niko tofauti na nilivo tarajia.
@
@remigiuswilla8813 years agoSomo zuri dr. Mauki, lakini inabidi upunguze matumizi ya kiingereza ili watu wote waelewe vizuri. 1
@
@veramruma44653 years agoHasante sana doctor, hakika uliyoongea ndio ninayoyaface, it real hurts. 2
@
@aash4145last yearHali hii siitaj mwanamme, bora nijikaie pekeangu.
@
@onlymama2981last yearYan kama unamjua vile this life no balance at all. 1
@
@otabengacannabino69823 years agoDah ni kwel kabisa, kwahy niache nae shobo. 1
@
@snakhilnassoro43223 years agoDuh! Umenena, nifanyeje ili kuokoa hli? Inaumiza sana. 4
@
@josephgeorge40322 years agoNini cha kufanya ukiwa kwenye mahusiano ya aina hii? 2
@
@papricahbeauty21363 years agoImenigusa sana aisee na dalili zote kuna mtu anazo and am leaving. 1
@
@user-fg9ik2gp9j4 months agoTanya sasa ili penzi lisiegemee upande mmko.
@
@yvonneatieno13202 years agoAsante sana dr nmejifunza napenda somo lako mungu akubariki.
@
@kizazijeur75182 years agoKwel usemayo baadh ya maneno yamenitokea dr.
@
@ibrahimelias573 years agoMungu azidi kukupa maujuzi uzidi tufunza. 2
@
@jeniferkalemela993 years agoYaani cris kunywa soda kakangu, hii imenigusa sana.
@
@susannaikuni85953 years agoAhsante xna dr nlikuwa kwa mahusiano kama hilo one side relationship. 2
@
@anastasiawarioba34782 years agoAh! Bax bna ila kma unaongea v2 vya kweli kumuhusu dah!
@
@salmaluhombero84663 years agoAsante sana dr umeongea ukweli kabisa babaa so sad. 5
@
@eliyasanga637410 months agoKiasi ni shingapi cha kufanyiwa cancer.
@
@katushabedotto2883last yearMm nina mchumba wangu ila bado ajapata kaz yeyote pamoja na kumalizia masomo yake aliniambia anavo ishi ko mm nikawa namuonea huruma namsaidia kidogo nilicho. ...Expand1
@
@mussakaembi57063 years agoHabar dr, mimi naitaji vitabu ili niwe najisomea mara kwa mara hususani vitabu vya saikologia mbalimbali ikiwa soft copy itakuwa vizur. 3
@
@umibana67593 years agoKweli tupuu, yaani huyu kama mchawi hatarii.
@
@capteinchuimchafu78943 years agoUmenikumbusha mbali sana aisee yule ex wangu wa zaman mule nashukuru baada ya kugundua nkampoteza kimya ni miaka miwili ssa nmempata mpya na ashakuwa mamtto wang tayali.
@
@thomasferdinand87692 years agoGod bless you dr kwa ujumbe wako mzuri nahitaji msaada wako. 1
@
@janethcharles16013 years agoDalili zote jamaa anazo hahaha mungu nisaidie dk ni kama unamuongelea yeye. 21
@Matlidadeus-wt5yqlast yearDaa isee kweli kabsa nimesikiliz mamb meng san mtumish lakin yot ana yo na mim natamn leo kesh nimwache likn nikimweelez tuachane hatak kabsa tuachan halaf yan mi nashindwa kabsa kumuelew naomb unisaidie nifanyej dokt. ...Expand
@
@nathanpius5997last yearJe kama ananitafuta pale nisipo mtafuta, ananipenda?
@
@bonifacengitu28992 years agoDa zote ulizo ongea sinanihusu da aise ntakufa mimi.
@
@mouking-kondeboynahimana4192 years agoYani umeniongeley mimi kbsa, na sasa amenambiy nimpe muda wa mwezi mmoja bila kuongey kuhusu mahusiano yetu.
@
@furahagesta31583 years agoNiswali kama mume anasazi hiyo ya sita munawezaje kutushauri.
@
@aash4145last yearSio lazma, ikiwa kama mimi ndo kipaumbele kwa salam, hainipi shida, hapol dont want love like this,
@
@jacksonbenetson12013 years agoUmenenaa kaka mauki. Mimi ninae rafiki wa kike yani uyoo nimzito katka mawasilianoo kuna nambaa alikuwaa nazo ukizipiga unaambiwaa inatumikaa. Nikimwomba nyinginee mpk sasa ajanipaa.
@
@christinamushi22733 years agoSiku zotee napenda kija kuwa kama wewe.
@
@addo21493 years agoMh. Hili langu ni one sidedzzz ngoja nianze kutafuta mwamvuli mwingine so painful. O! 1
Related videos for Dr. Chris Mauki: Dalili 6 za Penzi linaloegemea Upande Mmoja: