Video hii inakupa muongozo wa namna gani unaweza kuingarisha picha yako kwa kutumia Adobe Photoshop. Mfano kuondoa mabaka mabaka usoni, kufuta chunusi n.k
Una swali au maoni Usisite kuacha ujumbe wako katika sehemu ya comments.Ukishare video hii utakuwa umenilipa kitu cha hamani zaidi
Subcribe My Youtube channel.
-~-~~-~~~-~~-~-
Please watch: "Jinsi ya Kutumia Photoshop CS6 kwa mara ya kwanza(Beginners) SEHEMU YA 1"
/watch/QNXod8VmgEBmo
-~-~~-~~~-~~-~-
@witnessmallya5114last yearWao somo zuri sana, asante sana rich, ulete zaidi na zaidi.
@
@barikimedia2014 years agoAhsante kaka kwanilikuwa zero kabisa. Ila kwa sasa niko mbali kiasi.
@
@Songeafinest210last yearBro naomb nisaidie jins ya kuchonga shape ya kweny adobe.
@
@enoshyalex47712 years agoIyo opshn uliyo tumea kwangu mba haipo bro au adob zina tofautian.
@
@LyonWalker_7 years agoNow inabid uandae somo juu ya advance makeup and retouch deep ndg.
@
@emanuelyjeremia709811 months agoAsante sana je ni nnjia gani hutumika mfano maharusi kuwavalisha mavazi ya harusi kwa kutumia photoshop kwakiwa wamepiga picha kila mmoja kivyake.
@
@patrickmwakisyala48774 years agoHyo shm pia kwangu siionii natumia cs6 hamna hyo option.
@
@djmegatumbotz78926 years agoNoma me ni mmoja wa wanafunzi wako kwa hii video nimekuelewa.
@
@nuwfocuspictures64167 years agoHabari kaka tunaomba maelezo kuhusu kuweka colour na kun garish a kupitia adobe premier au after effect.
@
@siwemarashid19547 years agoKaka una vip mawasiliano maana daah mala kibao nakucheki.
@
@pmctvdsm11577 years agoMimi naomba msaada wa kudizaini cover move nimependa sana uwezo wako mkubwa sana.
@
@methodnishimwe60447 years agoI mean you are speaking two languages and u know that there is some people who don' t know english how they can understand u when u are not speaking swahili only?
@
@methodnishimwe60447 years agoBro why you don' t trust your native.
@
@swapterkisesa54045 years agoKaka naomba namba yako plz nicheki whatsup 0672317349.
@
@zainabuyusuf77304 years agoMkuu unaeza kutumia simupicha kwa kutumia simu?
Related videos for Jinsi ya Kung'arisha picha kwa kutumia Adobe Photoshop: