Hivi ndivyo mbunge aliyemaliza muda wake Joseph Selasini alivyozungumza kwenye mkutano mkuu wa chama cha NCCR-Mageuzi jijini Dar es Salaam. Pamoja na mambo mengine amewaeeleza wapinzani kuwa kama wao hawatashirikiana nao wao watashirikiana na wananchi.