Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
CC: Saadam Seif Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
/watch/gP9ye7QajQQay/watch/Y9mrg7gbcsMbr
@zainabali20415 years agoMashaallah. Allah awabarikie shukran ktv tz online hakika hii ni fahari yetu. 3
@
@zainababdullsadik12475 years agoMashallah lakini airport zamani mnatuangushaa tangu enzii za mkoloni pls muangalie pia. 6
@
@abdulihafidhali53795 years agoAlosikia neno atafaidika agonge like hapa chini ili twende sw. 7
@
@zayyatiyussuf95665 years agoShukran ktv tz online hakika hii ni fahari yetu. 2
@
@ramygichero10165 years agoHongreni sana wazanzibari mungu awabariki. 2
@
@fahadfahmy5 years agoWaziri mahmoud boresha kiwanja mambo mazuri yatakuja tu inshaallah.
@
@mwanaz31105 years agoSio ndege kubwa haijawahi kutuwa zanzibar mwambieni babu ali na smz waache ujinga na wao wanunuwe zao, hawamuoni magufuli mwenzao? 14
@
@daudimsangameno83045 years agoNdege kubwa zaidi ya abiria kwa sasa ni airbus a380, yenye uwezo wa kubeba abiria mpaka 800, na iliwahi kutua kwa dharura dar es salaam ikitokea dubai kwenda mauritius. 4
@
@nasser89nasser205 years agoNdege mashaallah kwa znz lkn aibu kwa uwanja wa ndege kua hivo na barabara hata taa hamna mnataka watalii lkn uwanja miaka ishirini haujabadilika angalau utengezeni na barabara na taa za njiani iwe znz km dubai. 4
@
@karyori695 years agoIna maana mwandishi hakuwa na habari a380 ilipotua bara?
@
@nadrikhamis13995 years agoInsha' allah tutayaona maendelea kwa jamii. 2
@
@salehseif95605 years agoAlafu mapato ya utalii wa zanzibar yanakwenda wapi maana zanzibar kila siku inazidi kufa. 14
@
@AbdillahSOthman5 years agoNunueni zakwenu mpate kuleta ufanisi wenyewe na mapato mupate mengi, visiwa ni utajiri mtupu uliopo lkn uchumi umekaliwa na wachache. Fikirieni na vizaz. ...Expand
@
@jannatferdaus72515 years agoMheshmiwa unatuahid kufanya kitu gani cha kuleta maendeleo znz kupitia hilo unalolisifia?
@
@user-ys6zi7vk8v3 months agoBritish airways jumbo jet ilikuwa inakuja tanzania miaka ya 90s na early 20. Kipindi hicho tunapanda kule juu pale dar. Huyu mtangazaji atakuwa amekuja mjini juzi.
@
@humuodkindi49264 years agoIshawahi kutua 747 zamani hii so mara ya kwanza including ndege serikali ya oman alikuja nayo malkia wa nyuki. Nsege kubwa kuliko hiyo ni boeing 7 nayo inatua znz kila mara from ethiopian airlines, na airbus 380.
@
@jumayaasin50565 years agoWe have to plan for bigger idea, i was thinking we have landed our own plane. 2
@
@jumatarabeni97535 years ago747 alikuja nayo mfalme was morocco na watatiano walashawahi kuja na hii no ya tatu 747. 1
@
@yahasalel-sheibany54035 years agoLoool! how comes ndege imejaa wat 525 half kwa mwez upat wat 4500-50 muheshimiwa waziri kwa mwez ni wagen 2100 kupitia company hio, hap una id="hidden6" apply multiplication t. 525 x 4=2100 labd mpk march zikiongezeka mara tatu ndo utapat wagen hao. ...Expand
@
@hajihaji63515 years agoMalizeni uwanja ni aibu sana mana ukikaa unasubur upande ndege joto kali hamna hata a/c. 3
@
@bodeamaimbo41805 years agoAcha uongo mtangazaji kusema ndio ya kwanza kutumia hata bara naile ya emirates jk nyerere usipotoshe watu sema hii ya kwnza kwa airport ya visiwani zanzibar.
@
@amourmtungo6235 years agoSasa hii ndege ni ya zanzibar au ya kigeni? Lakini barabara zetu na maji au miundo mbinu inaruhusu kuwaridhisha hao wageni?
@
@MAPETEE4 years agoSio kweli pesa zoot zapelekwa dar huko zanzibar ina kufa na nannja km kwel gonga hapo. 3
@
@salhkasmm5584 years agoNa changing ya machafu pia kwa watoto watafaidika.
@
@abubakaromari15675 years agoMm nikusema ni yenu kumbe mushereheke ndege za watu.
@
@issamohammed24585 years agoTupeni khabari za kweli ndege haijawahi kutuwa na air tanzania ishawahi kumiliki 747 boing.
@
@safianassir38435 years agoTumefurahi kutua ndege kubwa zanzibar lkn ilikuwa kabla tutizame wapi inatuwa na wapi wanapokea wageni kiasi kikubwa na wanaondoka pia panakuwa na foleni hujui aunzie wapi hakika hii ni fakhari yetu.
@
@bokasa51505 years agoKt huo ni uwongo ndege aina hii zimeshatua km mara ya tatu.
@
@ibrahimkhatib28995 years agoJamani hatuoni aibuu jana2 magufuli alipokea ndege mpya ya tz sisi hata hatuelewi tupotuu jamani hayo mapato yanaenda wapi?
@
@husnamohamed92454 years agoItolewe tra ilipiwe zanzibar tu pesa zenda bara. Na hao wazungu waskiwaibia hao washajivunjia.
@abukingkima0925 years agoTutangaze na tuvipende vya kwetu kwanza ili nchi yetu ikuwe kiuchumi na hasa kijamii ili serikali ipige hatua na wananchi wapate maendeleo.
@
@hassanmchwakachangama8885 years agoKubwa ushirikiano na uaminifu tu kwenye hayo mapato wa sijinufaishe wa kubwa tu.
@
@adullali7755 years agoMimi nauliza mgeni yoyote akiingia nchini akilipa viza pesa inaenda as zanzibar or tanzania? Who is.
@
@zayyatiyussuf95665 years agoMashaallah chuma simchezohalafu mtu wa kwazwa kuhojiwa anazungumza hata mate hamezi kwa fraha. Mtangazaji nimesikia hongera kwa kazi. 3
@
@ruaiyatruaiyat6915 years agoMnajisifu ndege yenu? Ndege si mnamuachia ananunua magufuli. Nyinyi anakutoeni kapa. Anaitengeza bara. Nyinyi mpoo tuu kidumu. Yeye yake yanamuendea. 10
@
@micamathew64335 years agoHiyo inaweza kutua hata hapa arusha tu. 1
@
@zayyatiyussuf95665 years agoWacha chuma kitue chini nishangae japokua kushangaa mwisho mara moja. Nimezipenda hizo kawa kofia mmevaa kwa sababu ya kuipokea ndege? 1
@
@mselemhaji19695 years agoPesa zote zitakazoingia lakini hakuna hata kimojaisipokua nikula wakubwa tu hata barabara zitashindwa kumalizwa wapuuzi ccm.
@
@twilindeissa93435 years agoUpumbavu wenu kaziyenu kujisifu lakin wananchi wanakufa kwa nnjaa kazi maneno mengi.
@
@oscarmtavangu30535 years agoKwa masahihisho, airforce one ni 747, ilimleta bush halafu obama tz.
@
@AliAli-xi3hu5 years agoMtaniwia radhi haya mambo yanavyokwenda hizi taasisi zimekaa kama saccos.
@
@MohdRashid-cu9qb5 years agoImeleta nn wasenge au wenda uchi kutoka ulaya.
@
@nadiyakisho21785 years agoFanyeni mnunue ya kwenu so kusifu za watu.
@
@hatimmohamed42995 years agoNilidhania ndege yenu aah! halafu hata zikijaa itatusaidia nini? wizi tu. wacheni majisifu fanyeni vitendo na sio kukusanya kodi mkajenga majumba na kugawana viwanja.
@
@theroots27435 years agoSasa subirini kiboko yenu mtakavyoambiwa kutoka kwa watawala au mabwana zenu.
@
@kassimomar75894 years agoPesa halafu zenda wap njia zotee mbovu pemba mzima. 1
@
@sultantany60915 years agoNilijua nasisi tumenunua ndege kumbe imekuja kutembea.
@
@abuuashyam84175 years agoAah minilizani yanchi ytu kumbe yawatu,
@
@fahdihasnuu90344 years agoLeten habar ambazo zitafungua akili zz watu uchumi wa watu unaanguka kila leo dah yani kweli wanahabari pia mumefilisika kimawazo pumbav.
@
@ibnsoudmzee52465 years agoLakini je hizo pesa mtakazo pata zitabaikia zanzibar au mtaendelea kuzipelaka bara. 4
@
@salamakhamis72455 years agoMunafurahia na kudidimiza tamaduni zetu za kistaarabu munacho angalia nyinyi matumbo yenu tu.
@
@qassimmuhammad96345 years agoJana tumepokea yetu air tanzania dreamliner hapa bongo. 3
@
@dullahamoud60374 years agoSasa zanzibar mumiliki ndege yenu sio pesa hazionekani wageni waja tu.
@
@samirahassan32124 years agoMsionyeshe ndenge tu onyesheni nahayo mapelenge wanao ua ndunguzetu kwa madawa yakukevya.
@
@smithjones40995 years agoWageni wamekuja kuchukua kisiwa cha znzibar. Acheni tamaa.
@
@hamedabdallah67285 years agoHahahaa hatari ndugu zetu wa damu wapokea ndege zao air tanzania kwa sherehe sisi twapokea air russia kwa sherehe tena itakayokaa zanzibar kwa saa id="hidden11" 1 tu inaondoka ujinga mtupu tutaishia hv kusindikiza watu kwa unafiki wa viongozi wa zanzibar. ...Expand
@
@ramygichero10165 years agoRussia ni nchi nzuri sana kwa utalii jitahidi na rudini tena mkawa lete wengine.
@
@fahadfahmy5 years agoWater salute yanini hiyo mvua inatosha.
@
@jumailyass93085 years agoSidhani kama inamfaifisha mzanzibar hapo.
Related videos for SHUHUDIA MWENYEWE, NDEGE KUBWA ZAIDI KUWAHI KUFIKA TANZANIA YATUA ZANZIBAR LEO | :
shukran ktv tz online hakika hii ni fahari yetu. 3
mwambieni babu ali na smz waache ujinga na wao wanunuwe zao, hawamuoni magufuli mwenzao? 14
how comes ndege imejaa wat 525 half kwa mwez upat wat 4500-50 muheshimiwa waziri kwa mwez ni wagen 2100 kupitia company hio, hap una id="hidden6" apply multiplication t.
525 x 4=2100 labd mpk march zikiongezeka mara tatu ndo utapat wagen hao. ...Expand
dar huko
zanzibar ina kufa na nannja
km kwel gonga hapo. 3
hakika hii ni fakhari yetu.
halafu hata zikijaa itatusaidia nini?
wizi tu.
wacheni majisifu fanyeni vitendo na sio kukusanya kodi mkajenga majumba na kugawana viwanja.
minilizani yanchi ytu kumbe yawatu,