AZAM VS RUVU: Ni kipigo kikubwa zaidi kwenye ligi msimu huu wa #NBCPremierLeague kikitolewa na Azam FC kwenda kwa Ruvu shooting. Wafungaji wa magoli ya Azam ni Michael Masinda aliyejifunga, Ismail Aziz Kader, Charles Zulu na Tepsi Evans wakati goli pekee la Ruvu likifungwa na Sadat Mohamed Nanguo.