Duration 2:2

Fatma Nyangasa: Nakuja Kigamboni kuchapa kazi

2 607 watched
0
7
Published 23 Jun 2021

Baada ya kuapishwa rasmi kuchukua wadhifa wa Mkuu ya Wilaya ya Kigamboni, aliyekuwa mtangazaji maarufu wa Azam Media Fatma Almasi Nyangasa amesema uteuzi wake na waandishi wengine unadhihirisha kuwa wanahabari wanaweza. Kwa wakaazi wa Kigamboni, anasema - ''nakuja kuchapa kazi:'' #Kurunzi

Category

Show more

Comments - 2