Duration 2:1

SABABU YA BABUTALE KUONGOZA KURA ZA MAONI JIMBO LA MOROGORO KUSINI MASHARIKI

1 923 watched
0
15
Published 21 Jul 2020

#Babutale #CCM #Morogoro Meneja wa Diamond Plutnumz, Hamisi Taletale maarufu kwa jina la Babutale ameshinda Kura za maoni kwa kupata kura 318 katika Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki. Babutale amewabwaga Naibu Waziri wa Kilimo Omar Mghumba aliyepata Kura 242, na watatu Kibena Kingo mwenye Kura 40.

Category

Show more

Comments - 0