#serengetitv ##tumekusudia kukuhabarisha na kukuburudisha ##
^Makosa ya kujamiana# kutoa mimba
moja ya matokeo ya tendo la kujamiana baina ya mwanamke na mwanaume ni kutugwa kwa mimba#
sheria namba nne(4) ya 1998 imeeleza wazi kuwa ni kosa kutoa mimba au kusaidia mwingine kutoa mimba
adhabu yao kisheria ni kufungwa miaka 7 kwamtoaji wamimba pia kwa aliye msaidia na kumshauli mwenzake kutoa mimba ni kifungo cha miaka 14.
##utoaji mimba unamadhara kwa afya pia kitendo hiki kinaweza pelekea mama kuaga dunia
Hivyo basi tushilikiane kupinga swala la utoaji mimba ili kujenga jamii bora##
kipindi cha mlimzi wa haki
ndani ya SERENGETITV *
Category
Show more
Comments - 4
Related videos for YAFAHAMU MAKOSA YA KUJAMIANA NA ATHARI ZA KUTOA MIMBA.: