Waziri wa Madini, Doto Biteko Disemba 19, 2020 amefika katika machimbo mapya ya dhahabu Lubaga yaliyopo mpakani mwa wilaya za Bariadi na Maswa mkoani Simiyu na kutoa maamuzi stahiki ya kuzingatiwa ili kumaliza mvutano uliokuwa umeibuka ukihusisha mgawanyo wa mali baina ya wenye leseni, mashamba pamoja na wachimbaji.
Tovuti @BMG BLOG https://www.bmgblog.co.tz/
Facebook @BMG HABARI https://web.facebook.com/bmghabari
Twitter @bmghabari https://twitter.com/bmghabari
Instagram @bmghabari https://www.instagram.com/bmghabari/
#BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI #PamojaDaimaBMG