Darasa baada ya Khutba ya Ijumaa iliyotolewa na Sheikh Shariif Abdulqadir Masjid Thaqaf Tandika Jijini Dar es Salaam Tanzania Tarehe 23/7/2021, Darasa ilikuwa ya maswali na majibu ni maswaligani fatilia hadi mwisho upate kuelimika, pia tunaomba usambaze kwa wingi ujumbe huu na Allah atawalipeni Inshaallah.