Duration 3:56

JPM - Eti MO DEWJI Alikutwa Gymkhana Alifikaje Watanzania Sio Wajinga

138 840 watched
0
612
Published 4 Mar 2019

JPM - "Eti MO DEWJI Alikutwa Gymkhana Alifikaje? Watanzania Sio Wajinga" RAIS wa Dk John Pombe Magufuli ameonyesha kuoridhishwa na namna ambavyo suala la upelelezi wa tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’ linavyofanya na Jeshi la Polisi nchini huku akidai sakata hilo linaacha maswali yasiyojibika kwa wananchi. Magufuli amesema hayo leo Jumatatu, Machi 4, 2019 wakati akihutubia mara baada ya kumaliza kuwaapisha Balozi Dk. Augustine Phillip Mahiga kuwa Waziri wa Katiba na Sheria na Prof. Palamagamba John Mwaluko Aidan Kabudi kuwa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. /watch/f-X1N-1 ... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho

Category

Show more

Comments - 96