Familia moja eneo la Ndenderu kaunti ya Kiambu inalilia haki kwa mwana wao wa miezi miwili aliyekatwa mguu na mkono. Kukatwa kwa viungo hivyo kunadaiwa kulitokana na chanjo aliyopata mtoto Njoroge.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
kenya news ,Kenya news today,kenyan latest news,latest news today,news update,daily nation,news kenya,news today kenya,news today,news nairobi,news