ukiifahamu thamani yako moja kwa moja utajua kuna nguvu kubwa sana katika kuytoa msamaha mapema bila kusubiri waliokukosea wakuombe radhi, samehe kwa sababu ni muhimu kwako wewe na sio wao.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuacha mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
TUFUATE INSTAGRAM:
SPN CHANNEL: https://www.instagram.com/successpath_network
EZDEN JUMANNE: https://www.instagram.com/ezdenjumanne
.
BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
WHATSAPP : (+255)759191076
.
#Ifahamu #Thamani #Yako
@abdoulkarenzo31383 years agoNashukuru sana kakayangu mtu unapo poteza kitu ulikua unapenda kama kazi amo mpenziwako camuhimu niko nikuafuta kazi ingine amo mpenzi mungine kuliko kuwaza benyewe bilsha kutoka. 1
@
@shukranjulius59103 years agoHakika huu ujumbe niwangu kabisa umenitibu mungu akubariki sana kaka. 1
@
@augustinoswai684 years agoAsante sana barikiwa sanaa kwa masomo yakoo. 1
@
@irakozesefu41854 years agoHeshim sn ndugu yangu mungu awazidishiye kwa kazi mliyo jitolea kwa kwakuboresha watuu. 1
@
@aline_amor873 years agoMafunzo ya maana kabisa katika maisha na ndunia ya sasa tuna shukuru kwa mafunzo mazuri.
@
@mashakalonka94074 years agoEzdenbrother! Mafunzo haya sio ya kawaida! In short you are the best! 4
@
@abushakir44524 years agoAhsante akhiy nimesikiza hii nikiwa na mahasira mengi sana. 1
@
@hdjirungakashililika75384 years agoNizahiri kuwa unasitahiki eshima, mungu azidi kukupa nguvu, afya na moyo wakutokuchoka kuwaelimisha vijana wa tanzania na nnje ya mipaka ya tanzania. 1
@
@iddmambo32184 years agoThanks a lot brother! May allah grant u more wisdom and deeper understanding of many subjects. In shaallah. 5
@
@anuarmazee89393 years agoMungu aliwkuxudia kuwaumba watu kama nyinyi mungu awape maixha marefu.
@
@aline_amor873 years agoNa mshukuru mungu kanijalia nina msamaha ndani yangu yani mtu aka ni kosea huwa na kasirikaka lakini mda mchache naamua kusamehe na furahi na cheka nae kama kawaida.
@
@hatimsalum55874 years agoKuna wakati huwa nafikiria ezden atakuwa siyo mtu wa kawaida, kuna wakati huwa nafikiria hv kusoma vitabu ndiyo inambadilisha mtu kuwa hivyo dah! Sometimes huwa nafikiri kuwa umezaliwa hivyo kuwa ww kama ezden. 6
@
@allymaganda50614 years agoHaya sio tu ni mawazo mazuur sana bali pia ni madini yenye thamani zaid ya diamond. Well done ezden. 2
@
@shabanzege30504 years agoAllha akupe kila la heri ktk kala atua ya mafanikio yako broo. Naitwa shaban zege np mkoa singida, shelui. 1
@
@ally77414 years agoSalam alaikum, bro ukifundisha kwa hi style, nzuli sana. 1
@
@wakuwezaclassic69474 years agoThanks brother huwa najifunza vingi allah atupe mwisho mwema. 3
@
@haikajohn75804 years agoNikweli kabisa zidi kutuelimisha ndugu. 1
@
@amourmtungo6234 years agoKweli kabisa hasira ni hasara na ni ujinga kabisa sawa na matusi. Kila mtu ana upungufu na udhaifu wake. No body is perfect although everybody is unique. 1
@
@emadjuma5074 years agoAsante sana kaka ezden nakupenda sana umebadilisha maisha yangu kwa kiasi kikubwa sanaa, nna mwez mmoja tokea niijue chanel hii lkn nimeweza kubadilika na kuwa tofaut na nlokua mwanzo asante sana Mimi ni msichana ambae nna umri mdogo sana ila kutokana na hali ya maisha ilinifanya niondoke niende nje ya nchi yangu na huku nlipo sometime napitia wakat mgumu sana lkn video zako zimeweza kunifumbua macho pale nlipokua sion mungu akubariki sana my brother @success pass network one teach one .....Expand2
@
@madibacelouse60954 years agoNi kweli bro kwani hii motivation imenigusa sana kwani awali nilikuaga ivyo na ichi kitu hutesa watu wengi sana asee, ila nashukuru kwani nowadays nimechange may god bless you bro ezden. ...Expand
@
@geraldsenkondo43344 years agoNadhani katika yote uliyofundisha hili umefanya vizuri zaidi.
@
@richadolph73204 years agoUmezungumza ukweli bro, wengi tunatafuta watu tunaowaita sahihi au company sahihi bila ya ss kujiuiza je sisi ni sahihi? 1
@
@emadjuma5074 years agoAsante sana kaka ezden nakupenda sana umebadilisha maisha yangu kwa kiasi kikubwa sanaa, nna mwez mmoja tokea niijue chanel hii lkn nimeweza kubadilika na kuwa tofaut na nlokua mwanzo asante sana Mimi ni msichana ambae nna umri mdogo sana ila kutokana na hali ya maisha ilinifanya niondoke niende nje ya nchi yangu na huku nlipo sometime napitia wakat mgumu sana lkn video zako zimeweza kunifumbua macho pale nlipokua sion mungu akubariki sana my brother @success pass network one teach one .....Expand2
@
@madibacelouse60954 years agoNi kweli bro kwani hii motivation imenigusa sana kwani awali nilikuaga ivyo na ichi kitu hutesa watu wengi sana asee, ila nashukuru kwani nowadays nimechange may god bless you bro ezden. ...Expand
Mimi ni msichana ambae nna umri mdogo sana ila kutokana na hali ya maisha ilinifanya niondoke niende nje ya nchi yangu na huku nlipo sometime napitia wakat mgumu sana lkn video zako zimeweza kunifumbua macho pale nlipokua sion mungu akubariki sana my brother @success pass network one teach one .. ...Expand 2
Mimi ni msichana ambae nna umri mdogo sana ila kutokana na hali ya maisha ilinifanya niondoke niende nje ya nchi yangu na huku nlipo sometime napitia wakat mgumu sana lkn video zako zimeweza kunifumbua macho pale nlipokua sion mungu akubariki sana my brother @success pass network one teach one .. ...Expand 2