@MwazaniTwaha-ds8mr10 months agoJaman mim mwenyew shuhuda wa hili tatizo nina miez mitat ckuon piriod zangu kwasabab nilikuw natumia sindano lakin nimetumia uwo mchanganyok asubuh na. ...Expand1
@
@marthakenganije86233 years agoMadam kam ndo umeingia period na damu inatoka kidogo na maumivu makali naweza kuitumia. 9
@
@dinaorio1852last yearMimi pia nimepata ushuhuda jmn nilikunywa jana na period ikaja. Ahsante dada ubarikiwe.
@
@maureenkeya91642 years agoHabari yenu mie hapa nko hilo changamoto nko mwezi mmja na nusu sjaona periods zangu mdalazin naeza nikaupata wapi ili niweze kufanikiwa na hedhi zangu jameni ninayo stress kali sana mummy. 4
@
@aishashabani-fs6pplast yearAsante sana dada mungu akubariki sana yan nimekunywa glas moja tuu baada ya dakika kumi mambo hayoo asee nilikua siamini nilikua nimepitiliza siku zangu kama wiki mbili nakushuru sana dada nimeziona.
@
@rosemonica53872 years agoDadaang nisipo kushukuru kweli ntakuwa sna shukrani nimekaa miez 7 bla period lakini huwez amini nimeitumia hii dawa leo na mda huu npo period mungu akubariki sana. 16
@
@khadeejamct2096last yearAsant dadayang kwamafunz yak mung akubarik na akulind.
@
@halimamuhagama5066last yearNgoja ntumie maan so kwa maumv hay ntalet mlejesho jman. 1
@
@eliadadeogratius92172 years agoAsante sana dada sikuona siku zangu kwa miezi 2 ila leo asubuhi baada ya kufanya ulivyo elekeza masaa machache tu nimeziona ubalikiwe sana. 5
@
@victoryapolinary5502 years agoMm naomba ukuliza mbona nilishirik tendo mwezi wa 5 mwezi wa 6 7 8 zote niliingia period mwez hk lkn mwezi huu wa 9 cjaingia p na dawa yako nimekunywa mara 4 lkn bado.
@
@annahsunday39652 years agoHabar dada flora nilikuw natumia sindan za uzazi wa mpango ila nimeacha kuzichoma toka wa kumi na mbili mwaka jana but mpk sas sijapat hedhi dadaang naweza tumia hivy ulivyoelekeza nikapt hedhi kama kawaida.
@
@linahpasco3775last yearDada nashukuru sana nilipitiliz ck 6 bla kuona period, nmekunywa mchanganyiko huo uck asubh nikaingia ahsnte sna mung akubrk.
@
@vairethjames92642 years agoKwel hii dawa kibok tok mwz wa kwanza nimepitiliza nilivyoon hii video nikasem nifanye majalibio ilikuwa usik mid ya saa mbil nikafanya maelekezo nikanywa. ...Expand3
@
@mwanaidimresh16284 months agoDa flora naeza kutumia tangawiz ya unga.
@
@liliankibet90082 years agoIwapo sina mdalasini naeza tumia nini tena,
@
@sankurukito45632 years agoAksantijuu yajeuri aswa. Hiimakuca. Ikaweza kuwaau mwenyikufunga jibu.
@
@kizanyengele97322 years agoJe naweza kutumiya mdarasini wa uga kwasababu mm nipo marecani sijuwi kama ninaweza kupata mdarasini wa mti.
@
@shelomaday46334 years agoAsantee cute. Lakini unatumia kwa mwezi mmoja au miezi yote. 6
@
@marialemi21772 years agoN. A. Kama huoni ule ute wa mimba dada jmn toa hilo somo plz.
@
@rosepaul6212 years agoMm nimefanya mapenz na mwenzang wang lkn badoo xjaona xiku zanguu.
@
@niyonzimahilali27253 years agoShukran lakin kama abdalasin haikupatikan itakuwaj?
@
@jasminali59214 years agoAsante sana nimeipenda maan naumwaga na tumbo mpk inafikia hatua natapika. 5
@
@Switielie11 months agoNilifanya family plan ya sindano, p imegoma sindano imeisha time.
@
@mariyammariyam65842 years agoYaan nimechelewa sku tatu hapa sielew ndio naina hii video acha nikaanze doz inshallah kher. 2
@
@dianadriveni54632 years agoSamahani kidogo dada mimi nina mwezi sihoni damu yangu nasijuwi shinda nini nimesha pima vipimo vya minba hila mimi sina minba sasa niko nahuliziya hivi. ...Expand4
@
@officialdadys35472 years agoHataka nilihalibuu mimba nikachelew kuingia period inasaidia. 2
@
@davidchriss97612 years agoNikifanikiwa kuona period naendelea au naacha. 1
@
@mwanahalimamwachili96794 years agoShukran sana flora, hapo kwa maumivu duuh hatarii. 8
@
@minnahhassan22293 years agoShukrn nimepata sasa hvi lol! Nilikunywa jana usiku sababu ilikuwa imechelewa siku tano ewe! Ila maumivu sasa we sijui niendele kutumia. 6
@
@blowc6700last yearThis is my daily routine and i still get it late ama ni juu ya kusimama sana juu kazi yangu ni yakusimama. 2
@
@lelasalum5553 years agoSenate sana ninatatizo hilo na kuchelewa kupata hedh ila naomba kuuliza naweza kutumia mdalasini wa unga. 2
@
@asiarota13287 months agoSioni siku zangu na tarehe ya kuon ni leo.
@
@enterenter19212 years agoNimekunywa mara nyingi lkn haijanisaidia.
@
@hasnajumahassan83292 years agoNitajalibu na mimi maan hayo maumivu siyo poa.
@
@aikajumanne32532 years agoSamahani ata kama umechoma sindano nasiku zimechelewa kupata hedhi naweza kupata kupitia maelezo ayo. 2
@
@annahkisanga78202 years agoDada kama sina mdalasini wa magome naweza tumia wa unga.
@
@blackblue96774 years agoSasa dada kama sina mdarasini nitatumiya nini. 5
@
@juatinawilliam23912 years agoDada mbona nimetumia sijaona period nina myaka miwiri sijaona period. 2
@
@mariamamir17863 years agoYaan niliishiwa bando ila nikaona bora nikope. Ili nilete mrejesho. Glass moja tu imenipa mrejesho fasta. Period tayari ni kama lisaa limoja hivi kupita. 1
@
@graceneema45403 years agoVipi kipenzi nikiwa na mimba ya mwezi mmoja inaruhusu kukunywa au. 3
@
@bibimzee78804 years agoTutafutie dawa ya wenye kukojowa kitandani. 6
@
@rachaeljackson85534 years agoAsante kwa somo nikiitaji kupunguza uzito plz. 1
@
@husseinbangine19632 years agoDa flora mimi nina miezi mi 8 sipati period jee ntaweza kufanikiwa.
@
@aishambogo89473 years agoMm mwenye niko na. Mwezi 5 bila kuona siku, angu nitafanyaje. 2
@
@sophiasalum25343 years agoDada me cku zangu cjaziona takliban mwaka je inawezekana kutumia na ikanisaidia. 1
@
@janethtarimo64762 years agoUkweli ni kwamba ukitumia hii ni kweli na inafaa tumia tu utajionea matatokeo nimetumia siku mbil saiv naingiy p kama kawaida.
@
@lusciousallian69982 years agoNilipitia hii post yako tareh 5 baada ya kuchelewa week nzima kupata siku zangu. Nilikua nna was sana. Najua wanawake mnaelewa hii hali. Baada ya kusoma. ...Expand2
@
@vumiliamatchu3704 years agoSasa dada mtu ambaye ajawahi kuona siku zaka akitumia iyo ataona? 3
@
@mwajumahussein83463 years agoJaman mimi nianwik sasa sipat piliod nikitumia hiyo dawa nawez kupat piliod.
@
@bossbaby57223 years agoMm nina miezi miwili mpaka sasa sijaona hedhi zangu dada je nikitumia hii dawa naweza kupata.
@
@betridaphares83643 years agoDada samahani kama mtu umetumia sindano ya majira na huoni period ukitumia hii atapata.
@
@cheiknamouna20584 years agoJe niktumia viungo mchanyiko vilivyosagwa vya chai nikazidisha tangawizi itafaa? 1
@
@salimanasri39803 years agoDada kama sina tangawuzi siwezi kutumia mdalasin.
@
@elizadonath7564 years agoMfano ukitumia baada ya siku 7 kuisha na siku ya 8 ntapat period? 2
@
@deboraswilla65963 years agoNimetumia siku mbili dear ya tatu ikaanza. 1
@
@bahatiulengo11183 years agoNilikua sijaingia miezi 2 na sina mimba nimekunywa jana na leo naendelea but naic maumivu ya tumbo la chini, but damu hazijaanza kutoka. 1
Related videos for (Eng Sub) PATA SIKU ZAKO KAMA ZIMECHELEWA HARAKA NA ONDOA MAUMIVU | how to get periods immediately: