Ingredients
1 kg boiled and peeled potatoes
Salt to taste
3 tbsp or more lemon juice
Green chilli
1 cup all purpose flour
Salt
1 tbsp emon juice
1 tbsp turmeric powder
Oil for deep frying
Water
#shunaskitchen
Mahitaji
Viazi ulaya kilo 1 vichemshe uvimenye
Chumvi kiasi
Pilipili za kijani kiasi
Maji ya ndimu au limau vjk 3 au zaidi
Unga wa ngano kikombe 1
Chumvi kiasi
Bizari ya mchuzi kjk 1
Maji ya limau kiasi
Maji
Mafuta ya kuchomea
#shunaskitchen
@pillyomaryhemedi657711 months agoOne of my favorite @shunas kitchen may allah bariq u.
@
@esperancafernandes36083 years agoI always wanted to learn this kachori making. Thank god i saw you making it. Lovely. 2
@
@fridamwakyambiki32554 years agoSijawahi kujuta kwa recipe zako shunas. Mungu akubariki. 1
@
@ummsalamahrashid79206 years agoShukran dear kwa mapishi mazuri twa faidi sasa mashaa allaah. 1
@
@wakisablackson83912 years agoNimejaribu zimetoka vinzuri asante kwa recipe.
@
@safiaothman10985 years agoMasha allah na jazaki allahu khairaan kathiraan.
@
@chakubanga16 years agoAs simple as 1-2-3 akisante kimdada mwenye sauti ya kachori.
@
@veronicasospeter60342 years agoThanks shuna nimepika kachora zangu hapa nakula tuu. Ni tamu balaa. 3
@
@zindunaabdallah90646 years agoShuna jamani wewe doh mm maashaaallah. 1
@
@vanessaenock13373 years agoLeo nimepika kachori tamu san l love u.
@
@fatmaabdallah57616 years agoMashaallah ajab it' s very yummy thanks for the recipe. 1
@
@salmanassor98952 years agoMshllh co nice sstr iy ndim kweny ung inasaidy nn plz.
@
@rahmaa.naim.93916 years agoMaashaallah tufundishe na badia za dengu. 4
@
@ter-nan29235 years agoJambo, nilijaribu kupika kachori jana, nilipenda sana lakini nikama sikuweka tumeric ya kutosha lakini tuseme tuukuchukua wakati wako kutufunza jinsi ya kuandaa vyakula.
@
@kyaraliz61503 years agoJamani why zangu zinaachia zikiwa kwenye mafuta.
@
@miriamnyanda93622 years agoHabari! Tatizo la viazi kutawanyika baada ya kuweka kwenye mafuta ni nini?
@
@maryamliposso13536 years agoMasha allah mama nmekua nikikufuatilia sana. 2
@
@gornaanaghikas77073 years agoHeloow dada mm naomba kuuloza swal kama nafanya biashara naweza tengeneza viduara nikaviacha vikalala usiku mzima mpaka asubuh kwa ajil yakuandaa?
@husnanoor13686 years agoMashallah habibty napenda sna mapishi yako simple na ingredients zote accessible. 1
@
@asyarashid76886 years agoNaomba utuewekee ile ice cream uliotuma instagram ya vanilla pleas. 1
@
@godwinbenedict41464 years agoShukrani sana, nina jambo langu, nitakuja tena kutoa feedback.
@
@ummunaa4246 years agoMaa sha allah mungu akupe wepes zaid uzid kutufundisha. 1
@
@khadijamdoe43185 years agoMpenz uwo upishi wa kachori mbona zangu nikipika zinamwagika zikiwa nzima zinakuwa hazikaz help me my dear.
@
@gakougakou84454 years agoKama hawuna unga wangano uweke unga gani.
@
@aneidakihongosi82255 years agoHiyo binzali ya mchuzi inapatikana sokoni au dukani? Na hiyo limau nakamua limao ya kawaida?
@
@officialqueennuu47575 years agoMashallah napenda video zako ni short si long video ikachokesha kuangalia.
@
@fatumakilua95425 years agoIvi mnavyo sagia viazi vinaitwaje na vyauziwa maeneigani mnao faham kwa tanga.
@
@shainosman96805 years agoSalaam. I had sambusa in dar. The outer pastry was made with raw manda. And wrapped in layers. Its very popular amongst african of arab descendent. If you know of this wrapping style pleases share.
@
@hazelbrown47126 years agoMashaallah looks yuummyy shukran jazillan juzi nilizipika kama hizo mtoto wangu amezipenda hatare watu wamezila nyumbani nawaambia kachori sio lazima tukienda dar ndio tuzile hata hapa msa tunakula mbona. 2
@
@sofiaslife8904 years agoTurmeric powder si manjano. Me leo nmejarib nikaweka majano pia si sawa?
@
@catherineezekiel62066 years agoAsante, je ni unga wa ngano upi unafaa kutumia kuweka ktk viazi ngano iliyo kobolewa au usio kobolewa? 1
@
@AliBaba-zb3tg6 years agoMbona mimi vinaganda chini nikipika jamani vina mukunyuka rohoo ina niuma afu napenda sana kachori. 1
@
@evelyntoya29196 years agoNaweza tumia unga wa dengu or gram flour. 1
Related videos for Kachori za viazi - Potato balls:
may allah bariq u.
asante kwa recipe.