@aeroportonissan80776 years agoHiyo ya mwisho ndo every thing. naomba wasikilizaji chukueni hiyo point ya mwisho kwasababu inasema ukweli kwa 100% 29
@
@enjoojustin33236 years agoMhmhmh mm sitapenda tna maana yana umiza sana yaan stak. 10
@
@mariamer74645 years agoDah umenigusa dada hayo ndo maisha yangu. Shikamoo mapenzi.
@
@jianyoslimsrekud13705 years agoAhsante san kwa mafunzo murua, inaotufungua macho. kwa sauti tam hik, narudia tena kukuskiza. view from ituri, drc.
@
@ombeniseif65665 years agoAsante sana kadadaa umenigusa kiukwel na sana my.
@
@engineerbaraka166 years agoPoint y mwisho ni the best one, utajua kama yupo na wew ama laah. 5
@
@japhetmasunga63276 years agoDada angu naona kama umenisema mm kuna mtu nampenda xana lkn yote uliyoyasema nahis km unajua ninavyofanyiwa mm point ya mwisho big up %100. 20
@
@rhodaayuma2406 years agoNi kweli kabida, yote uliyosema ni sahihi100% 3
@
@anithadenicanitha545 years agoHahaha staki kuvheka kingeleza mie ikifka mda ushaishi miaka zaid ya mitano mshaazaa watoto apo ni kuangalia familia sio mapenz tena. Ngoja niwaambie id="hidden1" jinsi maisha yanavyo badilika ndo binadamu tulivyo ishi ukiwa na furaha maisha ndo hayo usikubali mtu akupe stress alf yeye uko nje anacheka acha kabsa utumwa wa mapenz ni dhambi wallah. ...Expand2
@
@rosenaadolfu32596 years agoKweli dadaangu umeongea kweli yamenikuta. 6
@
@neemaaminiely65124 years agoSisemi maana najuta kupenda na nikifanikiwa kusahau sitapenda tn.
@
@khalifajeremiah625 years agoKweli kabisa iyo imenitokea mpaka sas sina iman n demu wangu.
@
@enjoojustin33236 years agoSio kwamba na ya chukia ila ukweli si yapend tna mapenzi. 16
@
@asmahoney10565 years agoDaah mapenz mashenz sana acheni tuu mm cjui kama ntapenda tna mwenzenu wanaume hawa jaman naumia mm kwa ajil ya kupenda tuu.
@
@hatamimnimempendabulejaman15964 years agoKwel ukimuuliza naye atakuuliza. Da mimi nilikuwa na mtukwa marafiki zake wengi sana na alikuwa ananiambia ana kiwanja siku tutaenda wote.
@
@yusuphbalali90376 years agoWatu kama hao napiga chini haraka sana. 3
@
@avithapolinary74435 years agoDah! Yani utafikili ulinijua vile kuna dem nilimpenda sana nikajitaidi kumfanyia kila aliloitaj lakin mwishowe nikaachwa lonely. 1
@
@marymaiko66056 years agoMmh! Kweli kabisa inauma sana kumpenda mtu asie kupenda. 18
@
@fridaynjenje9925 years agoYani mm ndo yanayo nitokea hay lakin kutokana na haya maneno yako ya mwixho umenifunza kwel sito ladhimisha tena. 4
@
@prosperdonald97375 years agoUmenigusaa sana naomba namba za watsap unifungue kitu.
@
@stelladaud97886 years agoSaw lkn mm kwa sasa mmh cn mapenzi kwakweli. 1
@
@yohanajoshua78816 years agoNi kwel kbs hzi ni dalili za kwel ahahahah. 2
@
@deokizizi33085 years agoSasa kwa mfano kesha kuonesha dalili za kimwili je halafu anatabia kama izo unazosema hapa inakuaje?
@
@mariamomary8986 years agoDuuh mm kilicho nichosh kwa mpenz wang n kwamba alinambia kwamb nikipata mwanaum ambae atanip ela eti niwe nae maan yy han pesa anavy sem yy sasa najiuliz ananipend kweli uy. 7
@
@zainbz34825 years agoUmetonesha watu vidonda kila ukipitia comment lazima ukute malalamiko aisee ata hamu sina ya kupenda ndomana nipo omani miaka mitano sasa nasaka hela sio mapenzi fyuu labda wangu ajazaliwa. 3
@
@joycejoshua28876 years agoKwel dada usiombe ukapenda ucpopendwa utajilaumu. 2
@
@anithadenicanitha545 years agoHahaha staki kuvheka kingeleza mie ikifka mda ushaishi miaka zaid ya mitano mshaazaa watoto apo ni kuangalia familia sio mapenz tena. Ngoja niwaambie id="hidden5" jinsi maisha yanavyo badilika ndo binadamu tulivyo ishi ukiwa na furaha maisha ndo hayo usikubali mtu akupe stress alf yeye uko nje anacheka acha kabsa utumwa wa mapenz ni dhambi wallah. ...Expand2
Related videos for Sifa za mpenzi asiekupenda kwa dhati:
naomba wasikilizaji chukueni hiyo point ya mwisho kwasababu inasema ukweli kwa 100% 29
kwa sauti tam hik, narudia tena kukuskiza.
view from ituri, drc.