@katutusaidi62234 years agoNic simba sports club in tanzania most africans. 1
@
@jaffarijaffa74024 years agoCamera man tulia. Kuwa professional. Afu acha kuchukua view za mbali. Tunataka kuwaona fresh wachezaji wetu. 9
@
@jeniferjoseph35754 years agoHila we fraga wewe yani unatusalimia heti habar zasubuhi. 8
@
@yohanahabely28434 years agoInapendeza sanaa. Lazima kuwe na utofauti ya sisi na wao. 4
@
@peterkasele89564 years agoWana simba furaha yenu mwisho mwaka huu.
@
@augustinongereja52834 years agoCamera man unayumba waambieni wachezaji wanatakiwa kufanya nini kabla ya kuanza kurekodi. Hatutaki sauti kuwa professional kaka. Ila yote kwa yote kazi nzuri. 1
@
@jacksonmsele15004 years agoMungu ninakuomba kwa moyo wangu. Baba isaidie simba wawe na uwezo wa kubuni na kuzalisha mapato mengi kwa klabu. Ili itoe ajira kwa watu wengi. Simba nguvu. ...Expand
@
@kalolibenedictor63194 years agoTutaelewana tu, ila fanyen kuongeza camera. 3
@
@ramafakihi28214 years agoSimba ni kma taasisi tunataka camera zenye high quality ili tuweze kuona kila kitu co kubahatishia ty.
@
@danielchristopher33064 years agoKam umsikia w mnyarwanda bong like twend saw.
@
@zabronnkoy49084 years agoHuyo tairone kingereza hajui na matola kireno hajui. Pale walikuwa wanaelewana kweli? 3
@
@richardmallya39064 years agoSimba sc tanzania is the father of football in tanzania. Who can withstand his wrath.
@
@dennismalima53654 years agoTunamaliza data limtu linarusharudha camera mamae. Be professional, na hao players wafundishwe kushow love kwenye camera. 7
@
@oscalaelias31144 years agoCamera man kuma mama yko hujui kutuliza kamera yani km tuna angalia vibonzo msyu.
@
@diocreshezron40874 years agoJaman wana nguvu moja tu subscribe channel yetu ya simba utopolo wasituzidi. 3
@
@angumbwikemrope45654 years agoI like my club please keep it up @prince_mrope. 1
@
@masoudseif49624 years agoWahusika tunaomba camera zenu muchukue vizuri video. Ili ziwe na ubora.
@
@richardnjau3624 years agoNamuona huyu mnyarwanda anashangaa mjini tuu.
@
@wolfugangtesha57244 years agoNaona sasa hivi mnafanya vizuri kipande cha you tube.
@
@frankathanas30544 years agoMbona pamechoka mapema hivi wanaotunza viwanja hivi wapo? Nakama wapo watafakari kwanini pamekuwa hivi. 2
@
@barackmoses70034 years agoKuna watu wanatamani uwanja huu uwe wao wale kwa macho tu.
@
@lightzamba33924 years agoMnawalazimisha wachezaji kuwasalimia mashabiki wakati hawana dhana hzo haijakaa poa.
@
@dutchsafari75624 years agoSimba _Moja kama huja subscribe bado fanya hivyooo tufike hata 30k hapo Utopolo wametuzidi Wana 37.9k kwenye youtube wanasimba tunashindwajeeee.. 9
@
@sm5tv4 years agoCameraman una mambo mengi daah camera haituli daah simba timu kubwa camera kubwa za kisasa zinahitajika hapo zenye uwezo mkubwa jaman.
@
@galatonemedia59584 years agoKama umemsikia fraga na kagere wakisema hallow wanamsimbazi subscribe kweny link hii. 2
@
@naseebchikoka38744 years agoCamera man anazingua anatembea kama anashoot ndoa timu kubwa kama hii inakuaje na camera moja.
@
@stevemwakisimba59864 years agoSubiri miaka mitano hesabu itoke hapo! Billion 20itakua imekwisha hahahaha hicho kinengo nini choo?
@
@mahupaabdul14554 years agoUnaposema club kubwa iwe hv. Viwanja vyako, mazingira kama hv. Hakika cc ni next level. 1
@
@hamismwangi46424 years agoCamera man anachezesha sn camera haitulii. 1
@
@receptionzanbluu36564 years agoWakumwangalia hayupo tatizo ndomana kamera haitulii, peleka mb zako kwa morison uburudike. 1
@
@sadamsuleiman84844 years agoWanaume kazin gonga like kama unalkubali chama. 5
@
@oscalaelias31144 years agoCamera man wew hujui kazi yako wew unashindwa hata kuweka stend muda wote camera inacheza cheza tu. Stupid.
@
@afyandogo4 years agoWachezaj wetu changamoto sana hasa hawa wakitanzania angalia mtu kama santos kaambiwa salimia mashabiki kafurahi kabisa ila unakuja kwa mtu kama manura. ...Expand1
Related videos for LIVE: Mazoezi ya Simba SC kutokea Mo Simba Arena:
simba timu kubwa camera kubwa za kisasa zinahitajika hapo zenye uwezo mkubwa jaman.