Hospitali ya rufaa ya mkoa wa Iringa inakabiliwa ukosefu na madaktari bingwa wa magonjwa ya mifupa, upasuaji, njia ya mkojo pamoja na moja na kisukari hali inayosababisha wagonjwa kutumia gharama kubwa kusafiri kwenda katika hospitali kubwa zilizopo Dodoma na Dar es salaam au hata nje ya nchi.
#AzamTVUpdates #AzamNews #AdhuhuriLive #MatibabuIringa